Burudani
Rayvan awajibu wanaosema anadandia remix za wasanii
Msanii Raymond Mwakyusa, maarufu Rayvanny amewajia juu watu wanaosema kuwa amezidi kufanya ‘remix’ za nyimbo zinazofanya vizuri kutoka kwa wasanii wenzake nchini ...TFF: Hakuna fedha za maandalizi zilizotolewa na CAF kwa timu zilizofuzu AFCON
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema hakuna fedha yoyote iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa ajili ...Karia: Zawadi ya milioni 188 ya timu ya U15 itajengea miundombinu
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema fedha za zawadi za michuano ya vijana pamoja na ile ...Madee atozwa faini, wimbo wafungiwa na BASATA
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemtoza faini ya TZS milioni 3 mwanamuziki Madee pamoja na kumfungia kujishughulisha na kazi za sanaa ...Mapromota Kenya watishia kuzuia tamasha la Koffi Olomide
Mapromota wa muziki nchini Kenya wametishia kukatisha tamasha la msanii mkongwe kutoka DR Congo, Koffi Olomide lililopangwa kufanyika siku ya Jumamosi Desemba ...