Data
Tanzania kinara Afrika Mashariki kwa kupiga hatua kubwa kiuchumi na kijamii
Ripoti ya Mapitio ya Hali ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2024 iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), ...Dkt. Mwigulu akanusha taarifa ya Tanzania kufilisika
SWaziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amekanusha taarifa inayosambaa mitandaoni ikieleza kwamba serikali imefilisika kiasi cha kushindwa kulipa madeni kadhaa yalliyosababisha kusuasua ...Nchi 10 za Afrika zinazoongoza kwa uhalifu mwaka 2024
Barani Afrika, uhalifu ni changamoto inayozidi kuongezeka na kuathiri maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Uhalifu una madhara makubwa kuanzia kuvuruga amani na ...Miji 5 inayoongoza kuwa na foleni barani Afrika mwaka 2024
Barani Afrika, foleni barabarani ni tatizo kubwa linaloathiri maisha ya kila siku ya mamilioni ya watu. Nchi nyingi za Afrika zinakumbana na ...Akiri kutengeneza dawa feki za kulevya na kusafirisha kwenye mabasi mikoani
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) inamshikilia Shaban Adam (54) mkazi wa jijini Dar es Salaam kwa tuhuma ...Kwanini Watanzania wengi hawakimbilii fursa za ajira nje ya nchi tofauti na mataifa mengine ya ...
Katika bara la Afrika, kuna mtindo wa watu kuhama kutoka nchi zao kwenda nchi za nje kutafuta maisha bora. Hata hivyo, Watanzania ...