Data
Mfahamu Naibu Rais Gachagua na kwanini Wakenya wanataka kumuondoa madarakani
Mwanasiasa aliyepitia kwenye taasisi ya mafunzo ya Upolisi mwaka 1990 baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa ya Sayansi ya Siasa na Fasihi ...Nchi 10 za Afrika zilizowekeza zaidi kwenye ulinzi mwaka 2024
Katika mwaka 2024, hali ya usalama barani Afrika imekuwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na migogoro ya ndani, ugaidi, na matatizo ...Waziri Mkuu aagiza watumishi Kigamboni wafikishwe mahakamani kwa ubadhirifu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameelekeza kufikishwa mahakamani mara moja kwa maafisa wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na watumishi wanne wa ...Waziri Mkuu aagiza pesa kukusanywa kwa kutumia mifumo ya kielektroniki
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la ...Nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa IMF katika robo tatu ya mwaka 2024
Nchi nyingi zinakabiliwa na changamoto za kiuchumi ambazo mara nyingine husababisha kutafuta msaada kutoka kwa taasisi kama Shirika la Fedha Duniani (IMF), ...TRA yavunja rekodi, yakusanya kiwango cha juu zaidi 2024/25
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba, mwaka wa fedha 2024/25 imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi ...








