Data
Mwalimu bora wa kike ashitakiwa kwa ubakaji wa wanafunzi
Aliyewahi kuwa mshindi wa tuzo ya mwalimu bora wa mwaka kutoka Texas nchini Marekani amefunguliwa mashtaka ya makosa ya unyanyasaji wa kijinsia ...Pasipoti 10 za nchi za Afrika zenye nguvu zaidi
Katika mwaka wa 2023, maeneo mbalimbali duniani yamerekebisha sera zao za usafiri kwa sababu mbalimbali ambazo zimewezesha au kuzuia ufikiaji wa mipaka ...Watanzania 22,000 walifariki kwa UKIMWI 2023
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema vifo vitokanavyo na UKIMWI vimepungua kwa mwaka 2023 kufikia vifo 22,000, ikilinganishwa na vifo 29,000 vilivyotokea ...Watalii wa Kenya wakimbilia Tanzania baada ya ada ya kuingia Masai Mara kupandishwa
Seneta wa Narok nchini Kenya, Ledama Ole Kina, ameeleza nia yake ya kuwasilisha kesi mahakamani kupinga ongezeko jipya la ada ya kuingia ...Watu 10 matajiri zaidi Afrika mwaka 2024
Kuna idadi kubwa ya mabilionea wa Kiafrika ambao ni wajasiriamali matajiri sana kutokana na mafanikio yao katika biashara na sekta mbalimbali. Matajiri ...Nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa zaidi IMF
Shirika la Fedha Duniani (IMF) limechapisha orodha ya nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa zaidi, huku Tanzania ikiwa haijatajwa kwenye orodha ...