Data
Hizi ndizo fani 6 zitakazopewa mikopo kwa wanafunzi wa Diploma
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema wanafunzi takribani 8000 watakaodailiwa kusoma stashahada katika fani zitakazopewa kipaumbele, watakaribishwa kuomba ...Utafiti: Wasichana wengi walioachwa na wachumba zao hupata ukichaa
Idadi ya wasichana wanaochumbiwa na kuvishwa pete kisha kuachwa na wanaume zao imezidi kuongezeka na kuwapelekea wengi wao kupata kichaa na msongo ...PPRA: Serikali imepata hasara ya TZS bilioni 8
Ripoti ya ukaguzi na uchunguzi iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imebainisha kuwa Serikali imepata hasara ya jumla ...Dar yaongoza kwa idadi ya wanaong’atwa na mbwa
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Arbogast Warioba amesema zaidi ya watu 20,000 wameripotiwa kung’atwa na mbwa ...Mitandao 5 ya kijamii inayotumika zaidi Afrika kwa mwaka 2023
Mitandao ya kijamii ni majukwaa na huduma za mtandaoni ambazo huwezesha watu kuwasiliana, kushirikiana, na kubadilishana maudhui kwa njia ya dijiti. Mitandao ...Uchunguzi: Wanawake watumia vidonge 12 vya Flagyl kuzuia mimba
Madaktari bingwa wa masuala ya uzazi wametahadharisha matumizi ya kiwango kikubwa cha dawa aina ya Flagyl (metronidazole) kama njia ya kuzuia mimba ...