Data
Kamati yaundwa kuchunguza madaktari waliofeli mtihani
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameunda kamati huru ya uchunguzi ili kuchunguza malalamiko juu ya mitihani ya usajili iliyotolewa na wawakilishi wa ...Utafiti: Asilimia 63 ya Watanzania wanafurahia Serikali inavyosimamia uchumi
Ripoti ya Afrobarometer iliyotolewa na Taasisi ya Utafiti wa Sera kwa Maendeleo (REPOA), imeonesha kuwa takribani asilimia 63 ya idadi ya watu ...Wafahamu Marais wa Afrika waliopinduliwa na Jeshi wakiwa madarakani
Mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi au kikundi cha kijeshi kinapochukua udhibiti wa serikali kwa nguvu na kumpindua Rais au kiongozi ...Mahakama: Kesi ya kupinga uwekezaji bandarini haina mashiko
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imebariki mkataba uwekezaji bandarini na kusema ni halali na kwamba malalamiko yaliyowasilishwa mahakamani hapo na walalamikaji wanne ...Wachezaji wa Simba, Yanga na Singida hatarini kuzuiliwa Ngao ya Jamii
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema mpaka sasa ni Azam FC pekee iliyowasilisha vibali 10 vya wachezaji wa kigeni ambao ...Mtanzania atekwa Nigeria, wataka milioni 170 kumuachia huru
Frateri Mtanzania atekwa Nigeria, wataka milioni 170 kumuachia huru Frateri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kigoma, Melkiori Mahinini (27) ametekwa nyara na ...