Data
Tamko la TUCTA kuhusu nyongeza ya mishahara ya kila mwaka
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limewataarifu wafanyakazi nchini kuwa Serikali imeahidi kukamilisha suala la nyongeza ya mishahara ya kila mwaka ...Wamiliki wa maghala waihakikishia Serikali kuna mafuta ya kutosha nchini
Kutokana na taarifa zilizosambaa kuhusu uhaba wa mafuta nchini, Wamiliki wa maghala ya mafuta wameihakikishia Serikali uwepo wa mafuta ya kutosha kwa ...Mwanza: Watu sita wafariki kwa kugongwa na gari wakifanya mazoezi
Watu sita wamefariki papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Hilux namba T476 DZL wakati ...Pasipoti ya Tanzania yapanda nafasi saba kwa uimara duniani
Pasipoti ya Tanzania imepanda nafasi saba katika viwango vya ubora vya Henley kwa mwaka 2023 ikishikilia nafasi ya 69 kati ya pasipoti ...Usome hapa muhtasari wa ripoti ya Tume ya Haki Jinai iliyowasilishwa kwa Rais Samia
[pdf-embedder url=”https://swahilitimes.co.tz/wp-content/uploads/2023/07/MUHTASARI-KWA-PRINTER.pdf” title=”MUHTASARI KWA PRINTER”]Kenya, Angola na DRC zilivyoamua kutumia fursa ya wawekezaji wa kimataifa kujiinua kiuchumi
Uwekezaji katika nchi za Afrika umekuwa na umuhimu mkubwa katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikijitahidi ...