Data
UVIKO-19 na vita ya Ukraine vyakwamisha majaribio ya SGR Dar-Morogoro
Serikali imesema kazi ya utengenezaji wa vichwa vya treni ya reli ya kisasa (SGR) haukukamilika kwa wakati kutokana na watengenezaji kupata changamoto ...Imebainika aliyezuia Polisi wasikamate watuhumiwa Kisutu ni wakili feki tangu 2019
Kufuatia taarifa iliyosambaa kwenye vyombo vya Habari ikimuonesha mtu aliyefahamika kwa jina la Baraka Mkama ambaye alitambulishwa kama wakili aliyekuwa akiwazuia askari ...Madiwani Singida walia na ‘betting’ kuvunja ndoa za vijana
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi mkoani Singida limeitaka Serikali kuchukua hatua za kudhibiti ongezeko la vijana wanaoshiriki michezo ...Bandari ya Dar es Salaam yaipita Bandari ya Mombasa kwa ufanisi
Bandari za Dar es Salaam, Djibouti na Berbera zimeipita Bandari ya Mombasa katika orodha iliyotolewa hivi karibuni na Benki ya Dunia juu ...Uchunguzi wa watoto njiti walionyofolewa macho na ulimi wabaini wauguzi walidanganya
Uchunguzi wa tukio la watoto njiti mapacha walionyofolewa macho, kuchunwa ngozi ya paji la uso na kukatwa ulimi katika kituo cha Afya ...Nchi 10 zinazoongoza kwa talaka duniani
Talaka ni ruhusa ya kisheria ambayo mume au mke hupewa wakati anapomuacha mwenzie. Mahakama hufikia uamuzi wa kutoa talaka baada ya kuridhika ...