Data
Maharage: Vyura 12,000 wamesharejeshwa nchini kutoka Marekani
Serikali imesema mpango wa kurudisha vyura wa Kihansi ulianza tangu mwaka 2012 na kufikia Juni mwaka huu, vyura wote waliobaki watakuwa wamerudishwa ...Mapendekezo 10 ya ACT Wazalendo Ripoti ya CAG 2021/22
Chama cha ACT-Wazalendo leo Aprili 10, 2023 katika mkutano na vyombo vya habari kimetoa mapendekezo kwa Serikali kutokana na ripoti iliyotolewa na ...CHADEMA: Waziri Mkuu awajibike kwa ripoti ya CAG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa wito kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwajibika kwa hasara iliyojitokeza ya ubadhirifu wa fedha katika ...MADUDU UKAGUZI MAALUM WA CAG REA 2015/2016 MPAKA 2019/2020
UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa ...Aliyetoroka gerezani Afrika Kusini akamatwa Tanzania
Jeshi la Polisi nchini limethibitisha kuwakamata raia watatu wa Afrika Kusini ambao ni Thabo Bester maarufu kwa jina la ‘Mbakaji wa Facebook’, ...Kwanini watu huweka ‘airplane mode’ wakiwa ndani ya ndege?
Kuna sababu kadhaa kwa nini unashauriwa kuwweka ‘airplane mode’ kwenye simu yako wakati ukiwa ndani ya ndege. Kwanza ni usalama wa ndege ...