Data
Dar es Salaam ya 85 kati ya majiji tajiri zaidi duniani
Ripoti ya shirika la New World Wealth and Henley Partners imelitaja jiji la Dar es Salaam kuwa jiji la 85 kwa utajiri ...Vijana wapewa mikopo takribani bilioni 2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana imetoa mikopo yenye thamani ya TZS bilioni 1.88 kwa ajili ...Maharage: Vyura 12,000 wamesharejeshwa nchini kutoka Marekani
Serikali imesema mpango wa kurudisha vyura wa Kihansi ulianza tangu mwaka 2012 na kufikia Juni mwaka huu, vyura wote waliobaki watakuwa wamerudishwa ...Mapendekezo 10 ya ACT Wazalendo Ripoti ya CAG 2021/22
Chama cha ACT-Wazalendo leo Aprili 10, 2023 katika mkutano na vyombo vya habari kimetoa mapendekezo kwa Serikali kutokana na ripoti iliyotolewa na ...CHADEMA: Waziri Mkuu awajibike kwa ripoti ya CAG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa wito kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwajibika kwa hasara iliyojitokeza ya ubadhirifu wa fedha katika ...MADUDU UKAGUZI MAALUM WA CAG REA 2015/2016 MPAKA 2019/2020
UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa ...









