Data
WHO: Idadi ya vifo Uturuki na Syria yaweza kufikia 20,000
Idadi ya watu walioripotiwa kufariki nchini Uturuki na Syria inakaribia watu 5,000, na watu 15,000 wakijeruhiwa kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu. ...Hospitali ya Bugando yaanza utafiti kuhusu maji ya maiti kutumika kuhifadhia samaki
Kufuatia agizo la Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango kutaka kufanyike utafiti kuhusu kinachodaiwa kuwapo ongezeko la saratani mikoa ya Kanda ya ...Mdororo Ethiopia, reli iliyojengwa na China ikihitaji maboresho ya bilioni 141
Mtandao wa usafirishaji wa reli ya umeme uliojengwa na China katika mji mkuu wa Ethiopia uko mbioni kuporomoka, kutokana na treni zake ...Vijana milioni 1.7 Tanzania hawana ajira
Serikali imesema takwimu za utafiti uliofanyika mwaka 2021 unaonesha vijana milioni 1.7 nchini hawana ajira ambao ni sawa na asilimia 12.2 ya ...Sababu 4 kwanini watu hupuuza ishara za hatari katika uhusiano
Sio mahusiano yote yanadumu milele, mahusiano mengine huonesha dalili zote kuwa hayapaswi kuendelea. Mara nyingi katika uhusiano huo watu huonesha tabia ambazo ...Mwigizaji Idris Elba kufungua studio ya filamu nchini
Mwigizaji maarufu wa filamu duniani kutoka Uingereza ambaye ni Balozi Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa (IFAD), Idris Elba ameonesha nia ya kuwekeza ...