Data
Nchi 6 Afrika zinazotarajiwa kuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu 2050
Nchi 6 Afrika zinazotarajiwa kuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu 2050 Kulingana na World Population Review, kampuni inayoangazia takwimu ya ...Vyumba vya madarasa Sengerema vyageuzwa madanguro
Wananchi wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza wamelalamikia baadhi ya vyumba vya madarasa wilayani humo kugeuzwa sehemu ya kufanyia ngono licha ya vyumba ...Tanzania mbioni kuunda na kurusha satelaiti yake
Serikali imesema katika mwaka huu wa fedha 2022/2023, Tanzania imeanza kuandaa utaratibu wa awali utakaowezesha kuunda na kurusha satelaiti yake angani. Aidha, ...Serikali kuchukua hatua video ya wanafunzi inayosambaa mitandaoni
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Adolf Mkenda amesema Serikali inaendelea kufuatilia utovu wa nidhamu uliofanywa na baadhi wa wanafunzi wa shule ...Waliofariki ajali ya ndege ya Precision Air wafikia 19
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema mpaka sasa idadi ya waliofariki katika ajali ya Ndege ya Precision Air kwenye Ziwa Victori mkoani ...Mwalimu wa Madrasa adaiwa kulawiti watoto 10 aliokuwa anawafundisha
Polisi wanamshikilia Mwalimu wa Madrasa anayefahamika kwa jina moja la Faidh kwa tuhuma za kulawiti watoto 10 wa kiume wenye umri kati ...