Elimu
Kenya: Watakaobainika kuwa na vyeti feki watarudisha mishahara yote waliyolipwa
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi nchini Kenya (EACC) imetoa onyo kuhusu matumizi ya vyeti feki vya masomo yanayofanywa na baadhi ...Jinsi ya kujua ikiwa ‘link’ ya barua pepe si salama
Ulaghai kupitia barua pepe, unaojulikana kama ‘phishing,’ ni aina ya udanganyifu mtandaoni ambao wadukuzi hutumia kwa lengo la kupata taarifa binafsi kutoka ...Wagoma kujiunga kidato cha kwanza kutokana na wahitimu kukosa ajira
Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa ...RC Burian: Wanaume tumieni mihogo kuongeza nguvu za kiume
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Burian amewaasa kinamama kutumia mihogo aina ya TARI Tumbi IV kuwasaidia wanaume zao kutatua ...Tanzania yapeleka madaktari bingwa wa moyo Zambia
Serikali imetuma madaktari bingwa 12 kwenda nchini Zambia kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo kwa watoto ikiwa ni sehemu ya ...Wakunga na Wauguzi 1,330 wafutiwa matokeo
Baraza la Ukunga na Uuguzi Tanzania limetangaza kufuta matokeo ya mtihani wa usajili na leseni za wauguzi na wakunga kwa watahiniwa wa ...