Elimu
Wanafunzi waliosoma nchini Sudan washindwa kupata vyeti vyao
Matumaini ya wanafunzi 54 wa Kitanzania waliokuwa wakisoma nchini Sudan na kuhitimu mwaka 2022, yamefifia kutokana na kutopata vyeti vyao vya kitaaluma ...Kwanini ‘depression’ imekuwa tatizo kwa watu wengi?
Depression, au mfadhaiko wa akili, ni moja ya changamoto kubwa za afya ya akili zinazoathiri watu wengi ulimwenguni. Ingawa kila mtu anaweza ...Namna ya kujilinda dhidi ya utekaji nyara na hali za hatari
Kila mtu ana jukumu la kuhakikisha usalama wake binafsi, hasa katika nyakati hizi ambapo vitendo vya uhalifu, kama vile utekaji nyara, vimeongezeka ...Polisi: Taarifa za uwepo wa mbakaji ‘Teleza’ ni uvumi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu kwa jina la ‘Teleza’. Taarifa ...Waziri Gwajima: Wasio na elimu ya uandaaji wa maudhui mtandaoni waache mara moja
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amekemea ongezeko la maudhui yasiyofaa yanayozalishwa na waandaji wa ...Tazama hapa matokeo ya mtihani wa Kidato cha Pili 2024
https://matokeo.necta.go.tz/results/2024/ftna/ftna.htm