Elimu
Haya ni madhara ya kutumia simu wakati wa kulala
Daktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Uti wa Mgongo na Mishipa ya fahamu kutoka taasisi ya tiba na Mifupa (MOI), Lemery Mchone ...Jinsi ya kulala ili kuepuka kukoroma
Je! Mara nyingi huamka na maumivu ya shingo au mgongo asubuhi? Hii inaweza kusababishwa na ulalaji mbaya usiku. Namna ya ulalaji bora ...Mkuu wa Mkoa ataka wasioimba wimbo wa Taifa watozwe faini TZS 10,000
Baada ya kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule kuiomba Serikali kuwatoza faini angalau TZS 10,000 kwa wale wote ambao ...Tanzania yaueleza Umoja wa Mataifa ilivyoboresha sekta ya elimu
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema katika kuelekea mwaka 2030, mataifa yanapaswa kujitoa upya na kuazimia kuongeza uwekezaji zaidi katika sekta ...Serikali kuandaa ramani mpya ya Tanzania
Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema ina mpango wa kuandaa ramani mpya nchi nzima zinazoonesha sura ya ...Fahamu historia ya gari la bunduki lililotumika kubeba jeneza la Malkia na kwanini linavutwa na ...
Gari hili lilitumika pia kwenye mazishi ya wafalme wengine kadhaa wakiwemo King Edward VII, King George V na baba yake Malkia, King ...