Habari
Trump aitaka Apple itengenezee iPhone Marekani au ikumbane na ushuru wa asilimia 25
Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka kampuni ya Apple kutengeneza simu zake ndani ya Marekani, la sivyo ikabiliwe na ushuru wa asilimia ...Marekani yazuia Chuo cha Harvard kudahili wanafunzi wa kigeni
Serikali ya Marekani imekifungia Chuo Kikuu cha Harvard kudahili wanafunzi wa kimataifa, na kuamuru wanafunzi wa kigeni waliopo wahamie vyuo vingine au ...Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limesema linamshikilia na linaendelea kumhoji Diana Bundala na maarufu kama Mfalme Zumaridi (42) ambaye ameyageuza makazi yake ...Sekta Binafsi yabadilisha sura ya Bandari ya Dar es Salaam
Baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kufanya uamuzi wa kuruhusu Sekta Binafsi katika uendelezaji na uendeshaji wa baadhi ya maeneo ya ...Rais mstaafu wa Mauritania ahukumiwa miaka 15 jela
Mahakama ya rufaa nchini Mauritania imemhukumu Rais mstaafu, Mohamed Abdel Aziz kifungo cha miaka 15 jela na faini ya dola milioni 3 ...Finland yaipa Tanzania heshima ya kipekee Barani Afrika
Tanzania imetoa wito kwa wawekezaji kutoka nchini Finland kuongeza ushiriki wao katika kuchochea uchumi na biashara nchini kama mbia mkubwa wa maendeleo ...