Habari
Binti akamatwa kwa kuajiri mtu amuue mpenzi wake wa zamani
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 26, Jaclyn Diiorio, anakabiliwa na mashtaka mazito baada ya kudaiwa kupanga njama ya kumuua mpenzi wake ...Baba awaua watoto wake kwa kuwakata vichwa
Hali ya majonzi imetanda katika eneo la Tach Asis, Konoin, Kaunti ya Bomet nchini Kenya, baada ya mwanaume mmoja mwenye umri wa ...CHADEMA yaeleza sababu za kutosaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema maamuzi ya kutosaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi mwaka 2025 ni kutokana na kutokuwepo kwa ...Chama kisichosaini Maadili ya Uchaguzi 2025 kunyimwa fursa ya kusimamisha wagombea
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhan Kailima, amesema kuwa chama chochote cha siasa ambacho hakitasaini Kanuni ...Rais Mwinyi: Ziara ya Uingereza imekuwa na manufaa makubwa kwa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi ameeleza kuwa ziara yake Uingereza imekuwa na manufaa makubwa kwa ...China: Tumefanikiwa kwa juhudi zetu wenyewe
Rais wa China, Xi Jinping, amesema taifa lake limeendelea kwa zaidi ya miaka 70 kwa kutegemea juhudi zake binafsi na si msaada ...