Habari
Prince Harry: Natamani kufanya maridhiano na familia yangu
Prince Harry amesema anatamani kurudisha uhusiano mzuri na familia yake ya kifalme, hasa baba yake Mfalme Charles, ambaye anaugua saratani na hazungumzi ...Wanafunzi zaidi ya 100 waumwa baada ya kula chakula chenye nyoka aliyekufa
Shirika la Haki za Binadamu nchini India linachunguza tukio la zaidi ya watoto 100 kuumwa baada ya kula chakula cha mchana shuleni ...Serikali kuanzisha leseni maalum ya uzalishaji chumvi
Serikali ipo mbioni kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi ili kuiondoa chumvi katika kundi la madini mengine na hivyo kuchochea ukuaji ...Serikali yaongeza mshahara kwa watumishi wa mma na kuhimiza mapitio kwa Sekta Binafsi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1 kutoka 370,000 hadi ...Nchi 10 zenye mabilionea wengi zaidi mwaka 2025
Kufikia mwaka 2025, taswira ya mabilionea duniani inaongozwa na nchi chache zilizotawala kwa kiasi kikubwa, ambapo Marekani inaongoza kwa tofauti kubwa. Takwimu ...Mrema: Nitaendelea kutimiza majukumu yangu kama mwanachama wa CHADEMA
Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia ...