Habari
Rais Trump adai Rais wa Ukraine ni dikteta
Rais wa Marekani, Donald Trump amemuita Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky dikteta na kumuonya kuwa lazima achukue hatua haraka ili kupata amani, ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...Hamas yaachilia miili ya Waisrael wanne waliokuwa mateka
Kundi la Hamas limeachilia miili ya watu wanne akiwemo mwanamke na watoto wake wawili, pamoja na mwanaume mzee mwenye umri wa miaka ...Baraza la Wazee Arusha lamwomba Rais kuteua mwakilishi wao bungeni
Baraza la Wazee Arusha limetaka ushirikishwaji katika vikao mbalimbali vya kijamii na ngazi za kimaamuzi ikiwemo Bungeni ili kutumia hekima na busara ...Wafanyakazi wa Kenya Pipeline kwenda jela kwa wizi wa mafuta
Wafanyakazi wawili wa zamani wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) wamehukumiwa kulipa faini ya Ksh milioni 10 kila mmoja [TZS milioni 202.06] ...CTI yatoa wito wa hatua za haraka za Sera na Utekelezaji ili kulinda maisha na ...
Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) liliendesha warsha na wadau mbalimbali kujadili changamoto kubwa ya unywaji wa pombe haramu na hatarishi. Warsha hiyo ...