Habari
Shilingi ya Tanzania yaimarika na kuwa miongoni mwa sarafu zinazofanya vizuri zaidi duniani
Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani kutokana na kuongezeka kwa mapato ya Dola ...Israel yawaua viongozi wakuu wa jeshi la Iran
Mkuu wa Jeshi la Iran, na afisa wa kijeshi mwenye cheo cha juu zaidi nchini humo, Mohammad Bagheri ameuawa katika mashambulizi makubwa ...Tume ya Ulaya yatangaza orodha ya nchi 10 zenye hatari kubwa ya uhalifu wa kifedha
Tume ya Ulaya imetangaza sasisho jipya la orodha ya nchi za tatu (zilizo nje ya Umoja wa Ulaya) zinazochukuliwa kuwa na hatari ...Wasira: Hakuna uhuru wa kutoa maoni kwa kutukanana mitandaoni
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema hakuna uhuru au demokrasi ya kutukana mitandaoni na wala hakuna uhuru usio ...Serikali: Deni la Serikali linahimilika
Serikali imesema hadi Aprili 2025, deni la Serikali lilikuwa shilingi trilioni 107.70 ambapo kati ya kiasi hicho, deni la nje ni shilingi ...Tanzania kuwa mwenyeji Tuzo za Dunia za Utalii WTA
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tuzo za Dunia za Utalii (World Travel Awards – WTA) kwa Afrika na Kanda ya Bahari ya Hindi ...