Habari
Meneja kampuni ya LBL Katavi na wenzake watatu wakamatwa kwa kufanya biashara ya upatu mtandaoni
Jeshi la Polisi mkoani Katavi linawashikilia watu wanne akiwemo Meneja wa Kampuni ya LBL mkoani humo, Ashery Birutsi (35), Paschal Mathias (34), ...SBL Yazindua Programu ya SMASHED Mwanza Kukabiliana na Unywaji wa Pombe Chini ya Umri
Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake ya kukabiliana na unywaji wa pombe kwa vijana chini ya umri inayojulikana kama SMASHED jijini ...Rais awakumbusha wanawake viongozi kutosahau majukumu ya kifamilia
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake waliobahatika kupata fursa ya elimu na kuwa viongozi kwenye maeneo mbalimbali, wasisahau wajibu wao ...Umoja wa Walimu Wasio na Ajira waiomba Serikali iwatazame kwa jicho la pili
Umoja wa Walimu Wasiokuwa na Ajira Tanzania (NETO) umeeleza masikitiko yake kwa Serikali kuhusu changamoto ya kutopata ajira tangu mwaka 2015 hadi ...Rais Trump adai Rais wa Ukraine ni dikteta
Rais wa Marekani, Donald Trump amemuita Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky dikteta na kumuonya kuwa lazima achukue hatua haraka ili kupata amani, ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...