Habari
Bodaboda 8 mbaroni kwa kuvunja vioo vya magari 18 Rufiji
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema linawashikilia watu 8 ambao ni madereva bodaboda katika Kijiji cha Kiwambo Kata ya Kitomondo ...Ashikiliwa kwa tuhuha za mauaji ya watoto watatu wa familia moja
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Doto Lubongeja mkazi wa Madundasi wilayani Mbarali, kwa tuhuma za mauaji ya watoto watatu wa ...Museveni aongoza kwa asilimia 76 katika matokeo ya awali
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa leo na tume ya uchaguzi akiwa na asilimia ...Rais Samia ayataka mataifa ya nje kuheshimu uhuru wa Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mataifa ya nje ambayo hayashiriki katika maono ya Tanzania yanapaswa angalau kuheshimu uhuru wa taifa, akisisitiza kuwa ...Museveni: Nitashinda kwa asilimia 80 kama hakutakuwa na udanganyifu
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema anatarajia kushinda kwa asilimia 80 endapo hakutakuwa na udanganyifu wowote katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo nchini ...Ashikiliwa kwa tuhuma za kuvunja na kuiba pesa benki
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema limemkamata Denis Ogesa (28) mkazi wa Nairobi nchini Kenya, kwa tuhuma za kuvunja na kuingia ...








