Habari
Serikali yasisitiza hakuna sheria iliyokiukwa katika utekelezaji wa majukumu yake
Serikali imeweka wazi msimamo wake kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa hakuna sheria yoyote iliyovunjwa katika utekelezaji wa majukumu yake kama ...Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mwanafunzi
Mahakama ya Wilaya Kigamboni imemhukumu Paschal Lucas Majandoni (35) kifungo cha miaka 30 jela pamoja na faini ya shilingi milioni moja baada ...Wasifu wa marehemu Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania
Rais Samia Suluhu ametangaza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, David Msuya kilichotokea leo ...Viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA watangaza kujiondoa CHADEMA
Baadhi ya viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Benson Kigaila wametangaza kuachana na chama ...Mchungaji akamatwa akiwa na nyoka kwenye begi
Polisi katika Kaunti ya Busia nchini Kenya wamemkamata mwanaume aliyejulikana kwa jina la Fanish Ramsey Maloba mwenye umri wa miaka 26 baada ...