Habari
Rais Trump asaini amri inayoiwekea vikwazo mahakama ya Uhalifu (ICC)
Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini amri inayoiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiituhumu kwa vitendo vinavyokiuka sheria na ...Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wathibitisha Watanzania 24 kushikiliwa na Idara ya Uhamiaji
Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani umethibitisha kuwa Watanzania 24 wanashikiliwa na Mamlaka ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) kwa kuishi nchini ...Waziri Silaa: Wananchi wana wajibu wa kufahamu anwani zao za makazi
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa (Mb) amesema utekelezaji wa mfumo wa Anwani za Makazi nchini umelenga kurahisisha utoaji ...Waasi wa M23 waunda Serikali mpya Kivu Kaskazini, DRC
Muungano wa Alliance Fleuve Congo (AFC), ambao una uhusiano na waasi wa M23 umeunda Serikali mpya nchini DRC kwa kumteua Kanali Bahati ...TRA yatangaza nafasi 1630 za kazi
Vacancies_Annoucement_-_Tanzania_Revenue_AuthorityMakamu wa Rais Ufilipino aondolewa madarakani na Bunge kwa kupanga kumuua Rais
Bunge la Ufilipino limepiga kura ya kumwondoa madarakani Makamu wa Rais, Sara Duterte anayekabiliwa na tuhuma mbalimbali, zikiwemo matumizi mabaya ya fedha ...