Habari
Putin atoa wito wanajeshi wa Ukraine wajiuzulu akiwaahidi kuwapa huduma bora
Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametoa wito kwa wanajeshi wa Ukraine walioko katika eneo la Kursk la Urusi kujisalimisha, huku mazungumzo ya ...Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ametangaza kuwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani, Ebrahim Rasool, hatakiwi tena nchini ...Tanzania yapokea msaada wa bilioni 27 kutoka Japan kuboresha sekta ya Afya
Tanzania na Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA), zimetiliana saini mkataba wa msaada wa Yen za Japan bilioni 1.527 [sawa na ...Putin akubali kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa masharti
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema anakubaliana na pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa siku 30, lakini akisisitiza umuhimu ...ACT Wazalendo waitaka Serikali imhoji Balozi kilichotokea Angola
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kufafanua kilichotokea nchini Angola na kutia msimamo ...Polisi: Mtoto aliyedaiwa ametekwa ni kawaida yake kutoroka
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa ufafanuzi wa kutekwa kwa mtoto Shadrack Adam (11) mwanafunzi wa darasa la Sita, ambapo limesema kuwa ...