Habari
Mahakama yaamuru Selasini kumlipa Mbatia milioni 80 kwa kumdhalilisha
Aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia ameshinda kesi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini ambaye alimfungulia mashtaka ya ...Benki ya NMB Yazindua Akaunti ya Kikundi
Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii, wanakikundi wataweza ...Mwendesha Mashtaka aondoa rufaa dhidi ya Sabaya na wenzake
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) imewasilisha ombi la kuiondoa rufaa Na. 155 ya mwaka 2022 dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ...Waziri Makamba azisihi nchi za Nordic kuwekeza kwa vijana Afrika
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amezitaka nchi za Nordic kutumia fursa za ushirikiano zilizoko kati ...Lissu: CHADEMA kuna mtafaruku na fedha chafu
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kuna fedha nyingi ndani ya chama hicho ambazo hazijulikani zinatoka ...Vifo vya Saratani kufikia milioni 1 mwaka 2030
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimy amebainisha kuwa takribani wagonjwa wapya wa Saratani 40,000 hugunduliwa kila mwaka na karibu jumla ya watu 27,000 ...