Habari
Tanzania kuunga mkono hatua za kurejesha amani Somalia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika mazungumzo yake na Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Dkt. Hassan Sheikh Mohamud, amewahakikishia Tanzania ...Makonda aagiza barabara itengwe kwa ajili ya maonesho ya biashara kwa wajasiriamali
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa kutenga barabara maalumu katikati ya jiji hilo ...Serikali kushirikiana na shule binafsi kuboresha sekta ya elimu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi, hususan shule binafsi ili kuboresha ...Rais Samia ahubiri 4R katika kuulinda na kuuendeleza Muungano
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania kuendeleza Muungano kwa kutekeleza falsafa ya maridhiano, kustahimiliana, kuleta mageuzi na kujenga nchi, kwani ...Bilioni 19.7 kukarabati Uwanja wa Uhuru
Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesema Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) utasimamia ukarabati wa Uwanja wa Uhuru mkoani Dar ...Rais Mwinyi: Muungano wa Tanzania umeleta faida kwa wananchi wa pande zote
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amesema Muungano wa Tanzania umeleta faida nyingi za kiuchumi, kisiasa ...