Habari
Rais awakumbusha wanawake viongozi kutosahau majukumu ya kifamilia
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake waliobahatika kupata fursa ya elimu na kuwa viongozi kwenye maeneo mbalimbali, wasisahau wajibu wao ...Umoja wa Walimu Wasio na Ajira waiomba Serikali iwatazame kwa jicho la pili
Umoja wa Walimu Wasiokuwa na Ajira Tanzania (NETO) umeeleza masikitiko yake kwa Serikali kuhusu changamoto ya kutopata ajira tangu mwaka 2015 hadi ...Rais Trump adai Rais wa Ukraine ni dikteta
Rais wa Marekani, Donald Trump amemuita Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky dikteta na kumuonya kuwa lazima achukue hatua haraka ili kupata amani, ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...Hamas yaachilia miili ya Waisrael wanne waliokuwa mateka
Kundi la Hamas limeachilia miili ya watu wanne akiwemo mwanamke na watoto wake wawili, pamoja na mwanaume mzee mwenye umri wa miaka ...Baraza la Wazee Arusha lamwomba Rais kuteua mwakilishi wao bungeni
Baraza la Wazee Arusha limetaka ushirikishwaji katika vikao mbalimbali vya kijamii na ngazi za kimaamuzi ikiwemo Bungeni ili kutumia hekima na busara ...









