Habari
Dkt. Mwigulu: Fedha zisizotumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali
Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia uwajibikaji na ...Dkt. Mwinyi awahimiza mabalozi kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia diplomasia ya ...Serikali: Bilioni 47 zimelipa watumishi 15,288 wa vyeti feki
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imesema kuwa watumishi wapato 15,288 walioondolewa katika utumishi wa umma kwa ...Rais wa zamani wa Peru pamoja na mke wake wahukumiwa miaka 15 jela
Mahakama nchini Peru imemhukumu Rais wa zamani Ollanta Humala na mkewe, Nadine Heredia, kifungo cha miaka 15 jela kwa makosa ya kutakatisha ...Gachagua adai wanataka kumuua pamoja na familia yake
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ameibua madai mazito ya njama za kutaka kumuua pamoja na kuwadhuru wanafamilia wake, akimtuhumu Inspekta ...