Habari
Wawili kwenda jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kumia silaha Mvomero
Mahakama ya Wilaya ya Mvomero imewahukumu vijana wawili kifungo cha miaka 30 jela kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kosa ...Wanne mbaroni kwa tuhuma za unyang’anyi wakiwa na jeneza Mabwepande
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu wanne wanaoendelea kuhojiwa kwa tuhuma za kufanya vitendo vya unyang’anyi, uporaji ...Polisi kuchunguzwa kuhusu vifo vitatu vya watuhumiwa
Jeshi la Polisi limesema linamshikilia Askari Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji kwa tuhuma za kumpiga risasi Shaban Said Luluba, Mkazi wa Kijiji ...Mchungaji akimbizwa hospitali akijaribu kuweka rekodi ya kukumbatia mti kwa saa 80
Mchungaji James Irungu kutoka Murang’a nchini Kenya amekimbizwa hospitali baada ya kuishiwa nguvu na kuanguka wakati akijaribu kuweka rekodi mpya ya dunia ...DC aagiza msako wa bodaboda waliotoboa eksozi
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Julius Mtatiro ameagiza kufanyika msako mkali wa kuwakamata waendesha pikipiki (bodaboda) waliotoboa eksozi za pikipiki. Amesema vitendo ...Marekani yatangaza kujitoa kwenye mashirika 66 ya kimataifa
Marekani imetangaza kujitoa katika mashirika/taasisi 66 za kimataifa kwa maelezo kuwa hazina tija kwa maslahi ya nchi hiyo, na kwamba tathmini ya ...








