Habari
Baba ampiga risasi binti yake kwa kuchukizwa na maudhui aliyokuwa akichapisha Tiktok
Mwanaume mmoja aitwaye Anwar ul-Haq, aliyekuwa ameirejesha familia yake Pakistan baada ya kuishi Marekani kwa miaka 25, amekiri kumuua binti yake wa ...Nchi 10 za Afrika zenye idadi kubwa ya watu wanaoishi na VVU
Mapema wiki hii, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kusitisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa fedha kutoka kwa ...Rais Samia: Baadhi ya machinga Kariakoo tutawahamishia Jangwani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inajipanga kujenga soko jingine kubwa kama la Kariakoo katika eneo la Jangwani, Dar es Salaam kupitia ...Uganda yathibitisha uwepo wa ugonjwa wa Ebola jijini Kampala
Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika Mji mkuu Kampala, huku mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa akifariki kutokana ...Miili ya wanafunzi saba waliofariki kwa radi yaagwa, Rais Samia agharamia misiba
Maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita waliofariki kwa kupigwa ...Majaliwa: Jengo lililoporomoka Kariakoo lilibeba mzigo wa tani 850, uwezo wake ni tani 250
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika zoezi la uokoaji wa jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo mwezi Novemba, imebainika jengo hilo lilikuwa ...