Habari
Majaliwa: Jengo lililoporomoka Kariakoo lilibeba mzigo wa tani 850, uwezo wake ni tani 250
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika zoezi la uokoaji wa jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo mwezi Novemba, imebainika jengo hilo lilikuwa ...Rais Tshisekedi kutohudhuria majadiliano ya EAC kuhusu mgogoro na Rwanda
Rais wa DRC, Félix Tshisekedi amesema hatashiriki mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais wa Kenya, William ...Madereva wa malori kutoka Tanzania wakwama DRC kufuatia machafuko
Madereva kadhaa wa malori kutoka Tanzania wamekwama katika mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kutokana na machafuko yanayoendelea katika ...Tanzania na Somalia zasaini mkataba kubadilishana wafungwa
Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Somalia zimesaini mikataba miwili ya makubaliano ya kushirikiana na katika masuala ya Ulinzi na ...Marekani yaitaka Rwanda kusitisha mapigano DRC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeishinikiza Rwanda kusitisha mapigano mara moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku ikitoa tahadhari ...Trump amwalika Netanyahu Ikulu ya White House
Rais wa Marekani, Donald Trump amemwalika Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuwa kiongozi wa kwanza wa kigeni kutembelea Ikulu ya White ...