Habari
Serikali yaahidi kushirikiana na wadau kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Samia Suluhu itaendelea kufanya maboresho zaidi ya mazingira ya ...Kafulila afafanua sababu za kukatika kwa umeme licha ya Bwawa la JNHPP kuelekea ukingoni
Licha ya zaidi ya asilimia 90 ya ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere kukamilika, tatizo la kukatika kwa umeme bado linaendelea ...Ushuru mpya wa Trump watikisa masoko ulimwenguni
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa zote zinazoingia nchini humo, kiwango cha chini kikiwa asilimia 10, huku baadhi ...Auawa akimgombania mke wa mtu nyumbani kwa mwanamke
Polisi wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 37 aliyeuawa huko North East Kadem, Wilaya ya Nyatike nchini Kenya ...Wizara ya Afya yatoa ufafanuzi mzazi aliyedai kubadilishiwa mtoto hospitalini
Kufuatia taarifa iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mama aliyejifungua kwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha kudai kubadilishiwa ...Utafiti: Vinywaji vinne hatari zaidi kwa afya ya Moyo
Vinywaji vingi tunavyokunywa kila siku vinaweza kuwa na madhara makubwa kwa afya ya moyo wetu. Ingawa baadhi ya vinywaji huonekana kuwa na ...