Habari
Mjue Dkt. Emmanuel Nchimbi, Mgombea Mweza wa Urais
Dkt. Emmanuel Nchimbi alizaliwa Desemba 24, 1971 mkoani Mbeya. Alisoma Shule ya Msingi Oysterbay jijini Dar es Salaam kuanzia mwaka 1980 hadi ...Kwanini ‘depression’ imekuwa tatizo kwa watu wengi?
Depression, au mfadhaiko wa akili, ni moja ya changamoto kubwa za afya ya akili zinazoathiri watu wengi ulimwenguni. Ingawa kila mtu anaweza ...Nchi 10 za Afrika zinazoongoza kwa gharama kubwa za maisha
Gharama ya maisha inaathiri moja kwa moja ustawi wa watu binafsi na jamii kwa ujumla. Hii ni kipimo cha bei ya bidhaa ...Serikali: Wastaafu kuweni makini na ujumbe wa kitapeli uliozuka hivi karibuni
Wizara ya Fedha imewatahadharisha wastaafu wote nchini kuwa makini na ujumbe mfupi uliozuka hivi karibuni unaotumwa wa kitapeli, ukionesha mtu aliyetumiwa ujumbe ...Amchoma mkewe kisu nyumbani kwao baada ya kumkimbia na watoto
Polisi katika kijiji cha Kibaita, Kaunti ya Nandi nchini Nairobi, wanachunguza tukio la kusikitisha ambapo mwanaume aliyefahamika kwa jina la Hanise Juma ...Ligi Kuu ya NBC kurejea mwanzoni mwa mwezi Februari
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kurejea kwa michezo ya Ligi Kuu ya NBC katika juma la kwanza la Februari, 2025 ...