Habari
SanlamAllianz Yaendelea Kuwashukuru Mawakala Wake
Kampuni ya Bima ya SanlamAllianz imewashukuru mawakala wao kwa kufanya kazi naoAkizungumza wakati wa halfa ambayo imefanyika Novemba, 28,2925 jijini Dar-es-Salaam, Meneja ...Nafasi 66 za Ajira Serikalini
https://portal.ajira.go.tz/vacanciesWaziri atoa siku nne huduma ya Mwendokasi irejee kote
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe ametoa muda siku nne huduma ya mabasi ya mwendokasi irejee ...Polisi: Winfrida hajatekwa, tunamshikilia
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema linamshikilia Winfrida Malembeka, na kwamba hajatekwa kama inavyodaiwa. Winfrida anashikiliwa kwa tuhuma za kuchapisha ...Mabalozi waeleza dhamira ya kuimarisha ushirikiano na Tanzania
Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali na taasisi za kimataifa nchini Tanzania wamethibitisha kwa pamoja dhamira yao ya kuendeleza na kuimarisha ushirikiano na Serikali ...Mkandarasi apewa miezi miwili Barabara ya Mwenge – Tegeta ikamilike
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa miezi miwili kwa kampuni ya Shandong Luqiao Group kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Mwenge – Tegeta kama ...








