Habari
Saudi Arabia yasema iko tayari kushirikiana na Tanzania uendelezaji wa reli ya SGR
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameikaribisha Saudi Arabia kuwekeza Tanzania katika fursa mbalimbali zikiwemo utalii, kilimo, madini, uendelezaji wa miundombinu pamoja ...Polisi: Tunafuatilia kifo cha mwanafunzi wa UDOM aliyekufa maji kwenye maporomoko
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limesema linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambaye amekufa maji ...VODACOM YAWAJENGEA UWEZO WA TEHAMA WANAFUNZI WA KIKE MKOANI DODOMA KUPITIA PROGRAMU YA ‘CODE LIKE ...
Meneja Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania PLC Kanda ya Kati, Latifa Salum (kushoto) akimkabidhi zawadi ya begi mwanafunzi wa shule ya ...Nafasi 20 za Ajira Serikalini
POST: MEDICAL PHYSICIST II – 2 POST Employer: Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) More Details 2025-01-02 Login to Apply POST: DECKHAND AUXILLARY II..(RE-ADVERTISED) – 8 ...Polisi: Harufu haikuwa kichwa cha mtu, bali ni dawa zilizochanganywa na utumbo wa samaki
Jeshi la Polisi mkoani Singida limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mtu mmoja kutiliwa shaka na wafanyakazi wa basi namba ...Wanafunzi 5 wa Chuo cha Uhasibu wakamatwa kwa kuiba milioni 20 mtandaoni
Wanafunzi watano wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wamekamatwa kwa makosa ya wizi wa zaidi ya Shilingi milioni 20 kwa njia ya ...