Habari
Waandishi wa Habari 18 washambuliwa na wanajeshi Uganda
Waandishi wa habari 18 wamedai kushambuliwa vikali na wanajeshi wa Uganda pamoja na maafisa wa kikosi cha kupambana na ugaidi katika eneo ...Amnyonga na kumtupa kwenye shimo la choo mwanaye wa miezi 9 baada ya ugomvi na ...
Polisi nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa makamo anayedaiwa kumuua binti yake wa miezi tisa katika Soko la Ikanga, tarafa ya Mutomo, Kaunti ...Waziri Ulega awasimamisha kazi wasimamizi wa mizani kupisha uchunguzi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa mizani waliokuwa zamu katika mizani ...Binti wa miaka 15 ashikiliwa kwa kutoroka na mtoto wa mwajiri wake
Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Christina Nashoni (15), mkazi wa Kijiji cha Malagarasi, Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma, kwa tuhuma za ...Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, ...