Habari
Trump afuta vibali vya usalama kwa Biden, Kamala na Hillary Clinton
Rais Donald Trump ameondoa vibali vya usalama na upatikanaji wa taarifa za siri kwa wapinzani wake wa zamani, wakiwemo Kamala Harris, Hillary ...Uganda kukopa bilioni 500 kufidia kampuni ya umeme baada ya mkataba kumalizika
Bunge la Uganda limeidhinisha ombi la serikali la kukopa dola milioni 190 [TZS bilioni 502.5] kutoka Benki ya Stanbic ili kufidia kampuni ...Waandishi wa Habari 18 washambuliwa na wanajeshi Uganda
Waandishi wa habari 18 wamedai kushambuliwa vikali na wanajeshi wa Uganda pamoja na maafisa wa kikosi cha kupambana na ugaidi katika eneo ...Amnyonga na kumtupa kwenye shimo la choo mwanaye wa miezi 9 baada ya ugomvi na ...
Polisi nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa makamo anayedaiwa kumuua binti yake wa miezi tisa katika Soko la Ikanga, tarafa ya Mutomo, Kaunti ...Waziri Ulega awasimamisha kazi wasimamizi wa mizani kupisha uchunguzi
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa mizani waliokuwa zamu katika mizani ...