Habari
Simba SC: Dabi iko pale pale
Klabu ya Simba imewataarifu wanachama na wapenzi wa mpira wa miguu kuwa mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC uliopangwa kufanyika Juni ...Yanga yasisitiza ‘Hatuchezi’ baada ya kikao na Bodi ya Ligi Kuu
Klabu ya Yanga imesema imewasilisha msimamo wao kwa Bodi ya Ligi Kuu wa kutoshiriki mchezo dhidi ya Simba SC uliopangwa kufanyika Juni ...Nafasi 321 za Ajira Serikalini
POST: TUTOR II IN ACCOUNTING AND TRANSPORT FINANCE – 1 POSTEmployer: Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)More Details 2025-06-19 Login to Apply POST: TUTORIAL ASSISTANT IN ...Ulega: Rais Samia ameelekeza madeni ya wakandarasi wa ndani yalipwe
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Wizara yake inatekeleza kikamilifu maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha makandarasi wa ndani wanalipwa ...Waziri Mkuu: Serikali inathamini mchango wa viongozi wa dini
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa waumini wa madhehebu mbalimbali nchini kuzingatia sheri ya uhuru wa kuabudu ili kuepuka uvunjifu wa ...Polisi yakanusha kumshikilia Sheikh Zuberi Nkokoo
Jeshi la Polisi mkoani Singida limekanusha kumkamata na kumshikilia Shekhe Zuberi Nkokoo (53), mwalimu wa dini ya Kiislam kutoka Taasisi ya Islamic ...