Habari
Watoto wawili wauawa Mara, chanzo imani ya kishirikina
Watoto wawili wa familia moja wamefariki katika tukio la mauaji lililotokea Kijiji cha Rung’abure, Wilaya ya Serengeti, mkoani Mara, ambapo chanzo kinadaiwa ...Waziri Mkuu asifu kasi ya maandalizi ya AFCON
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ...Trump atishia kuzuia kufunguliwa daraja linalounganisha Canada na Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuzuia kufunguliwa kwa daraja jipya lililojengwa na Canada linalounganisha Canada na Marekani kupitia Mto Detroit, akitaka Canada ...Siku 100 za Rais Samia: Serikali yaweka historia ujenzi wa miundombinu
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha miradi 40 ya madaraja ya dharura kati ya 81, ikiwemo ...Waziri Mkuu Azindua Kituo Kikubwa Cha CNG Puma Energy
DAR ES SALAAM, Februari 9, 2026: Puma Energy Tanzania imezindua rasmi Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) kilicho kikubwa na cha kisasa ...Kampuni 408 za Tanzania zapata usajili kusafirisha mazao ya kilimo China
Kampuni 408 za Tanzania zimepata usajili wa Mamlaka Kuu ya Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China (GACC) jambo linaloziruhusu kusafirisha mazao ...








