Habari
Ashikiliwa kwa kumkata kichwa na kumuua mtoto wa miaka sita
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja (26) mkazi wa Kijiji cha Kirwa wilayani Rombo kwa kosa la kumuua mtoto Rosemary ...Trump asitisha ufadhili kwa shirika la habari la VOA
Rais wa Marekani, Donald Trump amesaini agizo la kusitisha ufadhili wa Voice of America (VOA), shirika la habari ambalo linapata fedha kutoka ...Odinga: Nilishinda karibu mara zote nilipogombea urais
Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, amedai kuwa ameshinda karibu chaguzi zote za urais alizogombea, lakini hakuwahi kutangazwa rasmi kuwa mshindi ...Kulala chini ya saa 7 huchochea magonjwa ya moyo
Kulala ni moja ya mahitaji muhimu ya mwili, sawa na chakula na maji. Watu wengi wanadharau usingizi kwa sababu ya ratiba ngumu ...Putin atoa wito wanajeshi wa Ukraine wajiuzulu akiwaahidi kuwapa huduma bora
Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametoa wito kwa wanajeshi wa Ukraine walioko katika eneo la Kursk la Urusi kujisalimisha, huku mazungumzo ya ...Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ametangaza kuwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani, Ebrahim Rasool, hatakiwi tena nchini ...