Habari
ACT Wazalendo waitaka Serikali imhoji Balozi kilichotokea Angola
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kufafanua kilichotokea nchini Angola na kutia msimamo ...Polisi: Mtoto aliyedaiwa ametekwa ni kawaida yake kutoroka
Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limetoa ufafanuzi wa kutekwa kwa mtoto Shadrack Adam (11) mwanafunzi wa darasa la Sita, ambapo limesema kuwa ...Benki ya Dunia: Rais Samia amekuwa chanzo Tanzania kuongezewa kiwango cha kukopa
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Dkt. Zarau Kibwe, amepongeza uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa ni ...Serikali yatangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Marburg nchini
Wizara ya Afya imetangaza kumalizika kwa ugonjwa wa Virusi vya Marburg (MVD) nchini . Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya imesema wagonjwa ...Anastazia ahukumiwa miaka mitatu jela kwa kukutwa na kilo 5 za bangi
Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza imemhukumu Anastazia Mgaya (41) mkazi wa Kijiji cha Mtoni, Kata ya Nakatungu kifungo cha miaka ...Waziri Mkuu azindua kituo kipya cha Nzega kilichogharimu bilioni 4
Kassim Majaliwa leo Machi 13, 2025 amezindua kituo kipya cha mabasi cha Nzega mjini ambacho ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 4.327. Akizungumza ...