Habari
Polisi: Nondo amechukuliwa na Landcruiser nyeupe, tunaendelea kuchunguza
Baada ya taarifa ya Chama Cha ACT Wazalendo kudai kuwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama hicho, Abdul Nondo kutekwa leo ...Mzee Kiuno aweka rekodi ya kuongoza Uenyekiti wa Mtaa kwa miaka 30
Mwenyekiti wa mitaa mwenye umri wa miaka 70, Hamis Lukinga maarufu kama ‘Mzee Kiuno,’ ameendelea kuandika historia baada ya kuchaguliwa tena kuongoza ...Wadukuzi wavamia mifumo ya Benki Kuu ya Uganda na kuiba mabilioni ya pesa
Wizara ya Fedha ya Uganda imethibitisha ripoti za vyombo vya habari kuhusu wadukuzi kuvamia mifumo ya Benki Kuu na kuiba fedha, lakini ...Polisi: Taarifa kuhusu viongozi wa upinzani kufanyiwa uhalifu ni za kutengeneza
Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikieleza viongozi wa upinzani kufanyiwa vitendo visivyofaa hazina ukweli wowote bali ...Ufafanuzi wa Polisi kuhusu vijana wa CCM kukamatwa kwa tuhuma za kutaka kuchoma nyumba ...
Jeshi la Polisi mkoani Rukwa limetoa ufafanuzi wa taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu vijana sita wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ...Dereva Bodaboda ashikiliwa kwa tuhuma za kumuua Stephen Chalamila
Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanaume mmoja dereva wa Bodaboda kwa tuhuma za mauaji ya Stephen Evaristo Chalamila (23) mkazi wa ...