Habari
Ashikiliwa kwa kumbaka na kumuua mtoto wa chekechea wakati akienda shuleni
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Maulid Hassan Maulid (18) mkazi wa Mwera Pongwe katika Wilaya ya Kati mkoani humo ...Wakuu wa nchi na Serikali wanawake waliowahi kushiriki mkutano wa G20
G20 ni kifupi cha ‘Group of Twenty,’ kundi la kimataifa linalojumuisha mataifa 19 yaliyo na uchumi mkubwa zaidi duniani pamoja na Umoja ...Rais amuagiza Waziri Mkuu kuongeza saa 24 za uokoaji Kariakoo
Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuongeza saa 24 za uokoaji katika jengo lililoporomoka eneo la Kariakoo Novemba 16, ...Tume ya watu 19 yaundwa kuchunguza ubora wa majengo Kariakoo
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuelekeza majengo yote Kariakoo kufanyiwa ukaguzi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema tayari tume ya watu 19 ...Nafasi 55 za Ajira Serikalini
POST: TUTORIAL ASSISTANT (ACCOUNTING AND FINANCE) – 3 POST Employer: Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) More Details 2024-11-21 Login to Apply POST: TUTORIAL ASSISTANT (ACCOUNTING ...CCM yaongoza kuweka wagombea nafasi zote wapinzani wakiwa na 38%
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa ...