Habari
Rais amzawadia milioni mbili Dullah Mbabe kwa mchango wake kwenye ngumi
Rais Samia Suluhu amempa zawadi ya shilingi milioni mbili bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Abdallah Pazi maarufu Dullah Mbabe licha ya ...Rais wa mpito wa Gabon atangaza nia ya kugombea urais
Kiongozi wa jeshi la Gabon, Jenerali Brice Oligui Nguema, ametangaza nia yake ya kugombea urais katika uchaguzi wa mwezi ujao, akisema uamuzi ...Trump asitisha misaada ya kijeshi kwa Ukraine
Rais wa Marekani, Donald Trump amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia kutokuelewana kwake na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky wiki ...Levina apanga njama ya kutekwa na kuporwa milioni 8 ya mwajiri
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kumshikilia mwanamke mmoja aitwaye Levina Matala ...Canada kuomba msaada wa Mfalme Charles dhidi ya Trump
Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau amesema atazungumza na Mfalme Charles III wa Uingereza na kipaumbele chake kitakuwa kulinda uhuru wa nchi ...Nafasi 15 za Ajira Serikalini
POST: PATENTS SECTION MANAGER (1 POST) – 1 POST Employer: Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) More Details 2025-03-12 Login to Apply ...