Habari
Waziri Mkuu asema CCM iko tayari kwa uchaguzi wa 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahimiza ...Jay-Z na Diddy wafutiwa kesi ya ubakaji wa binti wa miaka 13
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Jane Doe mbaye alidai Sean ‘Diddy’ Combs na Jay-Z walimfanyia unyanyasaji wa kingono miaka 25 iliyopita, ameondoa ...Rais Samia apongezwa kwa kuimarisha amani, utulivu na maendeleo
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Twaha Ally Mpembenwe, amemsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake binafsi ...Wafungwa kuanza kupewa ujuzi na vyeti vya VETA gerezani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innnocent Bashungwa ameliagiza Jeshi la Magereza kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ...Kampuni ya Barrick yachangia mapato ya TZS trilioni 3.6 serikalini kwa miaka minne
Kampuni ya uchimbaji madini ya Dhahabu ya Barrick imechangia kiasi cha shilingi trilioni 3.6 katika mapato ya serikali kupitia kodi, mrabaha, na ...Akamatwa akiwa na sare za Jeshi la Wananchi zenye cheo cha Luteni
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemshikilia mtu mmoja aitwaye Emmanuel Mapana maarufu kama Mchambi (24), mkazi wa Mtaa wa Sima, wilayani Bariadi ...