Habari
Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mwanafunzi
Mahakama ya Wilaya Kigamboni imemhukumu Paschal Lucas Majandoni (35) kifungo cha miaka 30 jela pamoja na faini ya shilingi milioni moja baada ...Wasifu wa marehemu Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania
Rais Samia Suluhu ametangaza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, David Msuya kilichotokea leo ...Viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA watangaza kujiondoa CHADEMA
Baadhi ya viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Benson Kigaila wametangaza kuachana na chama ...Mchungaji akamatwa akiwa na nyoka kwenye begi
Polisi katika Kaunti ya Busia nchini Kenya wamemkamata mwanaume aliyejulikana kwa jina la Fanish Ramsey Maloba mwenye umri wa miaka 26 baada ...Ashikiliwa kwa kutoa taarifa za uongo za wizi ili apewe malipo ya bima
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linamshikilia David Zefania Sanga (39) kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo ...Ubunifu kwa Maendeleo: Tanzania Yajipanga kwa ajili ya Mkutano wa Future Ready na Wiki ya ...
Ubunifu unachukua nafasi ya kipekee mwezi Mei wakati Tanzania ikijiandaa kwa ajili ya Wiki ya Ubunifu Tanzania maarufu kama ‘Innovation Week Tanzania’ ...