Habari
Kampuni 10 za wazawa zadai kusitishiwa mikataba na kampuni ya madini bila taarifa
Kampuni kumi za wazawa nchini Tanzania zinazotoa huduma kwa Shanta Mine zimetoa malalamiko kuhusu mikataba yao kusitishwa bila sababu za msingi, huku ...TRC: Kusimama kwa treni ya mchongoko ilikuwa ni hujuma
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeutaarifu umma kupuuza taarifa zinazosambazwa na baadhi ya watu kuhusu kusimama kwa treni za EMU, Electric Multiple ...Maboresho mradi wa BRT awamu ya kwanza Dar kugharimu shilingi bilioni 18
Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam imesema inatekeleza mradi wa matengenezo ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) ...Ashitakiwa kwa kughushi wosia
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imempandisha kizimbani Mohamed Omary (64) mkazi wa Kawe Mzimuni kwa mashitaka mawili ikiwemo kughushi ...Nchi 10 za Afrika zenye viwango vya juu vya kodi mwaka 2024
Kodi ya Mapato Binafsi (PIT) ni sehemu muhimu ya mfumo wa kodi wa nchi, ikichangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kiuchumi na ...Rwanda yatangaza kutosajili pikipiki za abiria zinazotumia petroli ifikapo mwakani
Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kuanzia mwaka ujao 2025, haitasajili tena pikipiki za petroli zinazotumika kusafirisha abiria (bodaboda), katika jitihada za kuhamasisha ...