Habari
Askari mgambo washikiliwa kwa tuhuma za wizi
Askari mgambo wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Lindi kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa mali mbalimbali, zikiwemo za raia ...Rais Samia: Uwekezaji wa CCM ni kwa ajili ya kujali utu wa Mtanzania
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kila ambacho wanakifanya nchini Tanzania ikiwemo uwekezaji mkubwa uliofanywa na unaoendelea kufanywa na serikali yake, ni sehemu ...NECTA: Tukibaini udanganyifu mtihani wa Darasa la Saba, matokeo yatafutwa
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limezitaka shule na wanafunzi wote wanaotarajia kufanya mtihani wa Darasa la Saba kuepuka vitendo vya udanganyifu, ...Wakazi wa Dar wapewa wiki 3 wawe wamepaka rangi majengo yao
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam amewatangazia wakazi wote wa jiji hilo, hususani maeneo ya Kariakoo, Mchikichini, Jangwani, Kivukoni, ...Watanzania kushuhudia kupatwa kwa mwezi Septemba 07
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataarifu wananchi tukio la kupatwa kwa mwezi linalotarajiwa kutokea Septemba 07, 2025. Hali ya kupatwa ...Polisi yawashikilia watu 18 kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko kinyume na sheria
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 18 akiwemo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na ...









