Habari
Tanzania kuzisaidia nchi jirani kutokomeza ugonjwa wa Polio
Tanzania imeazimia kushirikiana na nchi jirani za ukanda wa Afrika ambazo bado zina viashiria vya virusi vya ugonjwa wa Polio ili kuutokomeza ...Dereva wa basi aliyesababisha ajali Mwanza ashitakiwa kwa makosa 64
Dereva wa basi la Asante Rabi, Shedrack Swai (37) aliyesababisha ajali Oktoba 22, 2024 eneo la Ukiligulu, Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza ...Wajasiriamali wamshukuru Rais Samia kuwawezesha kushiriki maonesho Sudan Kusini
Wajasiriamali kutoka maeneo mbalimbali nchini Tanzania wameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu kwa kuwawezesha kushiriki maonesho ya 24 ya Wajasiriamali Wadogo ...Rais Samia kuhudhuria Mjadala wa Kilimo Marekani
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini leo kuelekea Des Moines, Lowa nchini Marekani kuhudhuria Mjadala wa Kimataifa wa Norman E. Borlaug ...Tazama hapa matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba mwaka 2024
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Darasa la Saba kwa mwaka 2024, ambapo watahiniwa 974,229 kati ya wanafunzi 1,230,774 ...Nafasi 131 za Ajira Serikalini
POST: MTENDAJI WA KIJIJI III – 20 POST Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Hanang More Details 2024-10-31 Login to Apply POST: VOCATIONAL TEACHER II – ...