Habari
Hamas yaachilia miili ya Waisrael wanne waliokuwa mateka
Kundi la Hamas limeachilia miili ya watu wanne akiwemo mwanamke na watoto wake wawili, pamoja na mwanaume mzee mwenye umri wa miaka ...Baraza la Wazee Arusha lamwomba Rais kuteua mwakilishi wao bungeni
Baraza la Wazee Arusha limetaka ushirikishwaji katika vikao mbalimbali vya kijamii na ngazi za kimaamuzi ikiwemo Bungeni ili kutumia hekima na busara ...Wafanyakazi wa Kenya Pipeline kwenda jela kwa wizi wa mafuta
Wafanyakazi wawili wa zamani wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) wamehukumiwa kulipa faini ya Ksh milioni 10 kila mmoja [TZS milioni 202.06] ...CTI yatoa wito wa hatua za haraka za Sera na Utekelezaji ili kulinda maisha na ...
Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) liliendesha warsha na wadau mbalimbali kujadili changamoto kubwa ya unywaji wa pombe haramu na hatarishi. Warsha hiyo ...NCCR Mageuzi yasema haiko tayari kuungana na vyama vingine Uchaguzi Mkuu
Chama cha NCCR- Mageuzi kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushirikiana na chama chochote katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 na kimethibitisha kushiriki ...Wananchi 1,386,656 wafikiwa na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Wizara ya Katiba na Sheria imeeleza kuwa tangu kuzinduliwa kwa Kampeni ya kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia, Jumla ya ...