Habari
Polisi wamkamata mwanaume aliyeonekana akiwatishia watu kwa silaha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Derick Derick Junior (36), mkazi wa Salasala, Kinondoni ambaye picha mjongeo (video) ...BAKWATA yakanusha taarifa ya Polisi juu ya mtuhumiwa wa ubakaji
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera limekanusha taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi kuwa mtuhumiwa wa ubakaji ...Benki Kuu kuondoa noti za zamani kwenye mzunguko
Benki Kuu ya Tanzania imewataarifu Watanzania kuhusu zoezi la kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za shilingi ishirini (20), mia mbili (200), ...Mwanaume aliyepotea kwa miaka 34 apatikana akiwa na familia mpya
Mwanaume mmoja kutoka Kisii nchini Kenya, Joseph Nyaanga aliyepotea miaka 34 iliyopita, amegunduliwa hivi karibuni akiishi na familia mpya katika mji wa ...Dereva wa basi Mwanza – Morogoro anatumia leseni ya pikipiki; Polisi wamkamata
Dereva wa basi la abiria lenye namba za usajili T 622 EFG linalofanya safari zake mkoani Mwanza kwenda Morogoro anashikiliwa na Jeshi ...Makamu Mwenyekiti wa TLP adai kushambuliwa na Katibu wake ofisini
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Dominata Rwechungura amedai kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, ...