Habari
Tanzania na China kuingia makubaliano ujenzi wa barabara ili kupunguza foleni Dar es Salaam
Katika mkakati wa kupunguza kero ya foleni jijini Dar es Salaam, Serikali inafanya mazungumzo na kampuni ya China Overseas Engineering Group Co. ...Polisi yakanusha watu kuondolewa figo na watu wanaojifanya machinga
Jeshi la Polisi limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu watu wanaojifanya machinga wanaouza manukato mitaani, kuwalewesha watu kupitia manukato kisha ...Uganda inavyokabiliwa na changamoto ya kifedha kukamilisha mradi wa SGR, Eacop
Katika hatua kubwa ya maendeleo, Uganda imeingia makubaliano na kampuni ya Kituruki, Yapi Merkezi, kwa ajili ya ujenzi wa Reli ya Kiwango ...Serikali: Asilimia 94.83 wamejiandikisha Daftari la Wapiga Kura
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Watanzania milioni 31,282,331 wamejiandikisha kwenye ...Tanzania yawakaribisha wawekezaji Sekta ya Nishati
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inawakaribisha wawekezaji katika sekta ya nishati ili kuongeza kasi ya ...Nafasi 93 za Ajira Serikalini
POST: VOCATIONAL TEACHER II – (BUSINESS OPERATION ASSISTANT) – 2 POST Employer: Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) More Details 2024-10-30 ...