Habari
Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi
Mashirika ya Umma yaliyofanya vizuri katika mwaka wa fedha 2023/24 yamekabidhiwa tuzo maalum na Ofisi ya Msajili wa Hazina katika hafla rasmi ...Washindi wa kura za maoni vs walioteuliwa na NEC
Haya ni baadhi ya majimbo ambayo washindi wa kura za maoni hawakuidhinishwa na Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) kuwa ...Tume ya Uchaguzi yajibu madai ya Polepole kuhusu mfumo wa uchaguzi
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba mfumo wa taarifa za uchaguzi unaotumiwa na ...Suala la Mpina kugombea Urais kupitia ACT Wazalendo laibua mapya
Sakata la uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea Urais wa chama cha ACT- Wazalendo limeendelea kushika kasi baada ya Naibu Mwenezi wa ...Polisi: Tunachunguza mwimbaji wa Injili kudaiwa kuchukuliwa na wasiojulikana Geita
Jeshi la Polisi mkoani Geita limesema linachunguza na kufuatilia kwa ukaribu tukio la mwimbaji wa nyimbo za injili, Elisha Juma, mkazi wa ...








