Habari
Rais wa Liberia awasimamisha kazi maafisa 450 wa serikali kwa kutotangaza mali zao
Rais wa Liberia, Joseph Boakai amewasimamisha kazi zaidi ya maafisa 450 wa serikali akiwemo waziri anayesimamia bajeti pamoja na mabalozi, kwa kushindwa ...Aliyeiba bia za mama yake ajinyonga rumande baada ya mama yake kukataa kumfutia kesi
Polisi katika mji wa Eldoret nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha Collins Cheruiyot, kijana mwenye umri wa miaka 24, aliyekuwa akikabiliwa ...Wanaume watatu wakamatwa na watu watano wasiojulikana Tarime
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya limesema limeanza uchunguzi wa kuwabaini watu watano wasiojulikana ambao wanatuhumiwa kuwakamata watu watatu wakazi ...Siku ya Kondomu Duniani kuadhimishwa kwa mara ya kwanza nchini
Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI Magonjwa ya Ngono na Homa ya Ini (NASHCoP), Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) na Shirika ...Binti auawa baada ya kwenda kumtembelea mpenzi wake Nairobi
Familia moja katika Kijiji cha Kirima, eneo la Ngaru, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya imepatwa na mshtuko mkubwa baada ya binti yao ...DRC yaifungulia kesi Rwanda Mahakama ya Haki za Binadamu, kesi kusikilizwa leo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye ...