Habari
Rais Samia apongezwa kwa kuimarisha amani, utulivu na maendeleo
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Twaha Ally Mpembenwe, amemsifu Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake binafsi ...Wafungwa kuanza kupewa ujuzi na vyeti vya VETA gerezani
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innnocent Bashungwa ameliagiza Jeshi la Magereza kusimamia kikamilifu mpango wa kuwapa ujuzi na mafunzo ya ...Kampuni ya Barrick yachangia mapato ya TZS trilioni 3.6 serikalini kwa miaka minne
Kampuni ya uchimbaji madini ya Dhahabu ya Barrick imechangia kiasi cha shilingi trilioni 3.6 katika mapato ya serikali kupitia kodi, mrabaha, na ...Akamatwa akiwa na sare za Jeshi la Wananchi zenye cheo cha Luteni
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemshikilia mtu mmoja aitwaye Emmanuel Mapana maarufu kama Mchambi (24), mkazi wa Mtaa wa Sima, wilayani Bariadi ...Serikali yakanusha kuingia makubaliano na mwekezaji uendeshaji Bandari ya Bagamoyo
Serikali imesema haijaingia makubaliano na mwekezaji yeyote kwa sasa kwa ajili ya kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo. Taarifa iliyotolewa na Waziri ...Ally Kamwe, Mazanzala waitwa Kamati ya Maadili TFF
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imewapeleka kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Afisa Habari wa Yanga ...