Habari
Mambo 7 ambayo hupaswi kufanya unapojaribu kumrudisha mpenzi wako
Ni kawaida kwa wengi kutamani kurudisha mahusiano baada ya kuachana na watu waliowapenda sana. Hata hivyo, jitihada za kurudisha penzi zinaweza kuwa ...Polisi: Gwajima afuate taratibu za kisheria badala ya kukaidi agizo la Msajili
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeutaka uongozi pamoja na waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na ...Dkt. Biteko asisitiza umuhimu wa uelimishaji matumizi ya nishati safi ya kupikia
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesisitiza umuhimu wa kampeni ya uelimishaji katika kufanikisha malengo ya kitaifa ya ...Ofisi ya Msajili wa Hazina: Makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi yapanda kwa asilimia 40
Ofisi ya Msajili wa Hazina imerekodi ongezeko la asilimia 40 katika makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi ndani ya kipindi cha miezi ...Rais Samia: Mafanikio yaliyopo nchini ni matokeo ya ushirikiano wa Kitaifa
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio yaliyopatikana nchini katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita yanatokana na utekelezwaji wa ...Mtanzania anaswa kwa uporaji wa magari ya kifahari nchini Kenya
Raia mmoja wa Tanzania, Pinieli Vavai Lemomo, amekuwa miongoni mwa watuhumiwa watatu waliofikishwa katika Mahakama ya Machakos nchini Kenya kwa tuhuma za ...