Habari
Mtendaji wa Serikali adaiwa kumuua mkewe na kukaa naye ndani
Ofisa Mtendaji wa Serikali za Mitaa, Gongola Mboto, Dominic Mushi anadaiwa kumuua mke wake, Dayana Hugo (38) katika nyumba wanayoishi. Kaimu Kamanda ...Mapacha wafariki kwa moto wakiwa wamelala ndani
Familia moja kutoka kijiji cha Cha Ngoo, Mwingi nchini Kenya imeingia kwenye maombolezo kufuatia kifo cha watoto wao mapacha waliofariki katika ajali ...Wafanyakazi wa OYA wafikishwa mahakamani kwa kesi ya mauaji
Wafanyakazi wanne wa taasisi ya mikopo ya OYA wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya Juma Said ...Wakamatwa kwa kuiba bunduki kituo cha polisi
Katika tukio la kushangaza lililotokea Kamukunji, Nairobi, watu wawili wamekamatwa kwa kuiba bunduki ya afisa wa polisi, Inspekta Fredrick Muzungu, iliyopotea miezi ...Polisi: Tunafuatilia mazingira ya kupotea kwa kiongozi wa CHADEMA
Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea kwa kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ...Rais atoa rai kwa Watanzania kuuenzi Mwenge wa Uhuru kwa kufanya kazi kwa bidii
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa vijana wa Kitanzania kuendelea kuulinda Mwenge wa Uhuru ambayo ni Tunu ya Taifa na kuuenzi ...