Habari
ACT Wazalendo yazitaka nchi za Afrika kuungana na Afrika Kusini kupinga uamuzi wa Marekani
Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa Februari 8, 2025, wa kukata ...Haya ndio maazimio ya Wakuu wa Nchi wa EAC na SADC kuhusu mzozo DRC
Katika jitihada za kurejesha amani na utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ...Mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima akamatwa kwa kubaka watoto watano
Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Stephano Maswala (35), mlezi wa kituo cha kulea watoto yatima kilichopo Mlandizi kwa kosa la kubaka ...Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...Wizara ya Afya yafafanua upatikanaji wa dawa za ARV
Wizara ya Afya imesema dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) haziuzwi na zipo za kutosha, hivyo watumiaji wa dawa ...Barabara zitakazofungwa katika mkutano wa SADC
Tanzania imepata fursa ya kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na ...