Habari
Waziri Mkuu aagiza watumishi Kigamboni wafikishwe mahakamani kwa ubadhirifu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameelekeza kufikishwa mahakamani mara moja kwa maafisa wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na watumishi wanne wa ...Gachagua amuomba msamaha Ruto kabla bunge halijafanya uamuzi kuhusu hatma yake
Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua ameomba msamaha kwa Wakenya, bunge na Rais kabla ya wabunge hawajaamua kuhusu kuondolewa kwake ofisini kupitia ...Waziri Mkuu aagiza pesa kukusanywa kwa kutumia mifumo ya kielektroniki
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka maafisa masuhuli kwenye Halmashauri zote nchini waweke msisitizo wa kutumia mifumo ya kielektroniki katika makusanyo badala la ...Fahamu kuhusu shambulio la hofu (Panic attack) linalowakumba watu wengi bila kujua
Shambulio la hofu (Panic attack) ni hali ya ghafla na ya woga au wasiwasi ambayo mtu anaweza kupata bila sababu yoyote ya ...Rais Samia: Tunataka kujenga mfumo wa kodi unaotenda haki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeendelea kutatua changamoto za kodi nchini ambapo imeimarisha mifumo ya ukusanyaji mapato na kuijengea uwezo Mamlaka ...Nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa IMF katika robo tatu ya mwaka 2024
Nchi nyingi zinakabiliwa na changamoto za kiuchumi ambazo mara nyingine husababisha kutafuta msaada kutoka kwa taasisi kama Shirika la Fedha Duniani (IMF), ...