Habari
Gachagua: Ruto alinihusisha na maandamano ya Gen Z kama njama ya kuniondoa
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua amesema hakuwa sehemu ya maandamano ya vijana dhidi ya serikali yaliyofanyika Juni na Julai mwaka ...Waasi DRC watangaza kusitisha mapigano
Muungano wa waasi Mashariki mwa DRC unaojumuisha M23 umetangaza kusitisha mapigano kutokana na sababu za kibinadamu kuanzia Februari 4, mwaka huu. Muungano ...Rais Kagame asema hajui kama wanajeshi wa Rwanda wako DRC
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema hafahamu kama wanajeshi wa nchi yake wako mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambako ...Rais Samia azitaka mahakama kutenda haki na kwa wakati
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango mkubwa katika kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake ya maendeleo kama yatakayobainishwa ...Taasisi ya Bill Gates kumtunuku tuzo Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kupokea tuzo ya ‘The Gates Goalkeepers Award’ iliyoandaliwa na taasisi ya ‘The Gates Foundation’ ya nchini Marekani ...Kwanini Trump na Musk wanalipinga shirika la misaada la USAID?
Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) limekuwa sehemu muhimu ya sera za misaada ya nje ya Marekani kwa zaidi ya ...