Habari
Rais Samia: Tunataka kujenga mfumo wa kodi unaotenda haki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeendelea kutatua changamoto za kodi nchini ambapo imeimarisha mifumo ya ukusanyaji mapato na kuijengea uwezo Mamlaka ...Nchi 10 za Afrika zenye deni kubwa IMF katika robo tatu ya mwaka 2024
Nchi nyingi zinakabiliwa na changamoto za kiuchumi ambazo mara nyingine husababisha kutafuta msaada kutoka kwa taasisi kama Shirika la Fedha Duniani (IMF), ...ACT Wazalendo yaitaka TCRA kuondoa zuio la kuisitishia leseni Mwananchi
Chama cha ACT- Wazalendo kimelaani hatua ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni ya huduma za maudhui mtandaoni kwa kampuni ya ...Waziri Bashe aagiza Diwani wa CCM ashikiliwe kwa tuhuma za ubadhirifu
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa agizo la kushikiliwa kwa diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula ili kusaidia uchunguzi katika ...Dkt. Nchemba aishukuru IMF kwa misaada na mikopo nafuu nchini
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kwa mchango wake mkubwa katika maendeleo ya taifa ...CHADEMA yalaani kauli ya udini iliyotolewa na wazee wa CHADEMA Zanzibar
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani kauli zilizotolewa zenye viashiria vya udini ambazo zimesikika wakati wazee wa chama hicho walipokuwa wakifanya ...