Habari
Elon Musk: USAID ni shirika la kihalifu, linapaswa kufungwa
Mmiliki wa kampuni ya teknolojia, Elon Musk ametangaza kuwa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa kufa kwakuwa ni shirika ...Trump atangaza kusitisha misaada Afrika Kusini
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Afrika Kusini inataifisha ardhi na kuwatendea vibaya watu wa tabaka fulani, kutokana na hayo, ametangaza ...Rais: Tutapitia upya maslahi ya Kada ya Ualimu ili kuipa hadhi stahiki
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ili kuendana na Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014, toleo la 2023, Serikali itapitia upya ...Mwanamke apigwa hadi kufa kwa kudaiwa kuiba mtoto
Mwanamke mmoja kutoka mji wa Sindo, Suba Kusini, Kaunti ya Homa Bay nchini Kenya, ameuawa na kundi la watu wenye hasira kali ...Baba ampiga risasi binti yake kwa kuchukizwa na maudhui aliyokuwa akichapisha Tiktok
Mwanaume mmoja aitwaye Anwar ul-Haq, aliyekuwa ameirejesha familia yake Pakistan baada ya kuishi Marekani kwa miaka 25, amekiri kumuua binti yake wa ...Nchi 10 za Afrika zenye idadi kubwa ya watu wanaoishi na VVU
Mapema wiki hii, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kusitisha kwa muda wa siku 90 utoaji wa fedha kutoka kwa ...