Habari
Rais Samia: Baadhi ya machinga Kariakoo tutawahamishia Jangwani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inajipanga kujenga soko jingine kubwa kama la Kariakoo katika eneo la Jangwani, Dar es Salaam kupitia ...Uganda yathibitisha uwepo wa ugonjwa wa Ebola jijini Kampala
Wizara ya Afya nchini Uganda imethibitisha kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola katika Mji mkuu Kampala, huku mgonjwa wa kwanza aliyethibitishwa akifariki kutokana ...Miili ya wanafunzi saba waliofariki kwa radi yaagwa, Rais Samia agharamia misiba
Maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga miili ya wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda iliyopo wilayani Bukombe mkoani Geita waliofariki kwa kupigwa ...Majaliwa: Jengo lililoporomoka Kariakoo lilibeba mzigo wa tani 850, uwezo wake ni tani 250
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika zoezi la uokoaji wa jengo lililoporomoka katika eneo la Kariakoo mwezi Novemba, imebainika jengo hilo lilikuwa ...Rais Tshisekedi kutohudhuria majadiliano ya EAC kuhusu mgogoro na Rwanda
Rais wa DRC, Félix Tshisekedi amesema hatashiriki mkutano wa dharura wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulioitishwa na Rais wa Kenya, William ...Madereva wa malori kutoka Tanzania wakwama DRC kufuatia machafuko
Madereva kadhaa wa malori kutoka Tanzania wamekwama katika mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kutokana na machafuko yanayoendelea katika ...