Habari
Tanzania na Somalia zasaini mkataba kubadilishana wafungwa
Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Somalia zimesaini mikataba miwili ya makubaliano ya kushirikiana na katika masuala ya Ulinzi na ...Marekani yaitaka Rwanda kusitisha mapigano DRC
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeishinikiza Rwanda kusitisha mapigano mara moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, huku ikitoa tahadhari ...Trump amwalika Netanyahu Ikulu ya White House
Rais wa Marekani, Donald Trump amemwalika Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuwa kiongozi wa kwanza wa kigeni kutembelea Ikulu ya White ...Mali, Niger na Burkina Faso zajiondoa ECOWAS
Nchi zinazoongozwa na jeshi Mali, Niger, na Burkina Faso zimejiondoa rasmi katika Jumuiya ya Uchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS). Nchi ...Trump asitisha usambazaji dawa za VVU, malaria na kifua kikuu kwa nchi masikini
Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, ...Ubalozi wa Kenya nchini DRC wavamiwa na waandamanaji
Ubalozi wa Kenya uliopo Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umeshambuliwa na waandamanaji wenye hasira wakipinga mzozo unaoendelea mashariki mwa nchi ...