Habari
Benki ya Dunia na AfDB zatenga Trilioni 102 kufanikisha umeme kwa watu milioni 300 Afrika
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia zimetenga dola bilioni 40 za Kimarekani [TZS trilioni 102] ili kufikia lengo ...Colombia yakubali kuwapokea wahamiaji waliorejeshwa baada ya vitisho vya Trump
Mgogoro wa biashara kati ya Marekani na Colombia umemalizika kwa makubaliano, huku Colombia ikikubali kupokea wahamiaji waliorejeshwa kutoka Marekani kwa ndege za ...Benki ya Dunia yajadili juhudi za kufikisha umeme kwa watu milioni 300
Rais wa Benki ya Dunia, Ajay Banga amesema Mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaendeleza kazi ya miezi kadhaa iliyopita, ambapo makubaliano ya ...Mganga wa kienyeji akamatwa akiwa na fisi, adai anamtumia kusafiria
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limemkamata mtuhumiwa mmoja ambaye ni mganga wa kienyeji akiwa na fisi. Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema ...