Habari
Serikali kuanzisha leseni maalum ya uzalishaji chumvi
Serikali ipo mbioni kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi ili kuiondoa chumvi katika kundi la madini mengine na hivyo kuchochea ukuaji ...Serikali yaongeza mshahara kwa watumishi wa mma na kuhimiza mapitio kwa Sekta Binafsi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1 kutoka 370,000 hadi ...Nchi 10 zenye mabilionea wengi zaidi mwaka 2025
Kufikia mwaka 2025, taswira ya mabilionea duniani inaongozwa na nchi chache zilizotawala kwa kiasi kikubwa, ambapo Marekani inaongoza kwa tofauti kubwa. Takwimu ...Mrema: Nitaendelea kutimiza majukumu yangu kama mwanachama wa CHADEMA
Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia ...JWTZ yatangaza nafasi za kujiunga na Jeshi kwa vijana wa Kitanzania
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza kuanza kwa zoezi la uandikishaji wa vijana wa Kitanzania kujiunga na jeshi, likilenga ...Trump aokoa TZS trilioni 430 ndani ya siku 100 za Urais
Rais wa Marekani, Donald Trump ametimiza siku 100 Jumanne, tangu aingie madarakani. Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), imesema tangu kuingia kwake ...